iqna

IQNA

bayern munich
Wanamichezo Waislamu
Tehran (IQNA) - Picha za Sadio Mane mchezaji wa Timu ya Soka ya Taifa ya Senegal ambaye pia ni mchezaji wa Klabu Bayern Munich ya Ujerumani akisoma Qur’ani Tukufu imesambaa katika mitandao kijamii na kuwavutia .
Habari ID: 3476736    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/21

Waislamu na Michezo
TEHRAN (IQNA)- Mchezaji wa Morocco Noussair Mazraoui wa Bayern Munich na Msenegali Sadio Mane, ambao ni Waislamu, wamekataa kupiga picha wakiwa wamebeba glasi ya bia katika picha ya kila mwaka ya klabu hiyo ya Bavaria, Ujerumani kutokana na imani yao za kidini.
Habari ID: 3475713    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/31